Skip to content
2 Nyakati 26:4-5

2 Nyakati 26:4-5

4
Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.
5
Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta Bwana, Mungu alimfanikisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options