Skip to content
2 Nyakati 25:27-28

2 Nyakati 25:27-28

27
Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata Bwana walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko.
28
Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options