2 Nyakati 25:1-2
1
Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu.
2
Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, lakini sio kwa moyo wake wote.