2 Nyakati 24:1-2
1
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.
2
Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana miaka yote ya Yehoyada kuhani.