Skip to content
2 Nyakati 24:1-3

2 Nyakati 24:1-3

1
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.
2
Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana miaka yote ya Yehoyada kuhani.
3
Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options