Skip to content
2 Nyakati 11:13-14

2 Nyakati 11:13-14

13
Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za Israeli wakawa upande wake.
14
Pia Walawi wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao, wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa wasiwe makuhani wa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options