2 Nyakati 10:13-14
13
Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,
14
akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”