Skip to content
1 Timotheo 5:1-2

Kuwatendea Waamini kwa Heshima

1 Timotheo 5:1-2
1
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
2
nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options