Skip to content
1 Timotheo 2:4-6

1 Timotheo 2:4-6

4
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
5
Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,
6
aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options