1 Timotheo 2:1-3
1
Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote:
2
kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
3
Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,