Skip to content
1 Wathesalonike 5:2-3

1 Wathesalonike 5:2-3

2
kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.
3
Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options