Skip to content
1 Wathesalonike 5:1-2

1 Wathesalonike 5:1-2

1
Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia,
2
kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options