Chuyển đến nội dung
1 Wathesalonike 1:9-10

1 Wathesalonike 1:9-10

9
Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli
10
na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options