Skip to content
1 Wathesalonike 1:6-7

1 Wathesalonike 1:6-7

6
Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
7
Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options