အကြောင်းအရာသို့ ကျော်သွားရန်
1 Wathesalonike 1:6-7

1 Wathesalonike 1:6-7

6
Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.
7
Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options