Skip to content
1 Samweli 7:1-2

Sanduku Likaa Kiriyath-yearimu

1 Samweli 7:1-2
1
Kisha watu wa Kiriath-Yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Bwana. Wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu juu kilimani na kumweka Eleazari mwanawe wakfu kulichunga Sanduku la Bwana.
2
Sanduku la Bwana lilibakia huko Kiriath-Yearimu kwa muda mrefu, yaani jumla ya miaka ishirini, nao watu wa Israeli wakaomboleza na kumtafuta Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options