Skip to content
1 Samweli 4:5-6

1 Samweli 4:5-6

5
Wakati Sanduku la Agano la Bwana lilikuja kambini, Waisraeli wote wakapiga kelele kwa sauti kuu hata ardhi ikatikisika.
6
Wafilisti waliposikia makelele wakauliza, “Ni nini makelele haya yote katika kambi ya Waebrania?” Walipofahamu kuwa Sanduku la Bwana limekuja kambini,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options