Skip to content
1 Samweli 30:7-8

1 Samweli 30:7-8

7
Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari mwana wa Ahimeleki, “Niletee kisibau.” Abiathari akamletea,
8
naye Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawapata?” Bwana akajibu, “Wafuatie. Hakika utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options