Skip to content
1 Samweli 30:3-4

1 Samweli 30:3-4

3
Daudi na watu wake walipofika Siklagi, wakakuta mji umeangamizwa kwa moto na wake zao pamoja na wana wao na binti zao wamechukuliwa mateka.
4
Hivyo Daudi na watu wake wakapiga yowe mpaka wakaishiwa na nguvu za kulia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options