Skip to content
1 Samweli 3:20-21

1 Samweli 3:20-21

20
Nao Israeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba wakatambua kuwa Samweli amethibitishwa kuwa nabii wa Bwana.
21
Bwana akaendelea kutokea huko Shilo, na huko kujidhihirisha kwa Samweli kwa njia ya neno lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options