Skip to content
1 Samweli 26:1-2

1 Samweli 26:1-2

1
Hao Wazifu wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kinachotazamana na Yeshimoni?”
2
Hivyo Sauli akashuka kwenda katika Jangwa la Zifu, akiwa na watu wake 3,000 wa Israeli waliochaguliwa, kumsaka Daudi huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options