Skip to content
1 Samweli 25:38-39

1 Samweli 25:38-39

38
Baada ya siku kumi, Bwana akampiga Nabali, naye akafa.
39
Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema, “Ahimidiwe Bwana, ambaye amenitetea shauri langu dhidi ya Nabali kwa kuwa alinitendea kwa dharau. Amemzuia mtumishi wake asitende mabaya na Bwana ameuleta ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe.” Kisha Daudi akatuma ujumbe kwa Abigaili kumwomba awe mke wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options