Skip to content
1 Samweli 25:36-38

1 Samweli 25:36-38

36
Abigaili alipokwenda kwa Nabali, alikuwa ndani ya nyumba yake akifanya karamu kama ile ya mfalme. Naye alikuwa ana furaha nyingi, akiwa amelewa sana. Kwa hiyo Abigaili hakumwambia mumewe kitu chochote mpaka asubuhi yake.
37
Basi asubuhi, Nabali alipokuwa amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote, nao moyo wake ukazimia, akawa kama jiwe.
38
Baada ya siku kumi, Bwana akampiga Nabali, naye akafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options