Skip to content
1 Samweli 25:32-33

1 Samweli 25:32-33

32
Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyekutuma kunilaki leo.
33
Ubarikiwe kwa uamuzi wako mzuri na kwa kunizuia nisimwage damu leo na kulipiza kisasi kwa mikono yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options