1 Samweli 21:11-12
11
Lakini watumishi wa Akishi wakamwambia, “Je, huyu si ndiye Daudi mfalme wa nchi? Je, huyu si ndiye yule ambaye wanaimba katika ngoma zao wakisema: “ ‘Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake’?”
12
Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.