Skip to content
1 Samweli 19:12-13

1 Samweli 19:12-13

12
Basi Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, naye akakimbia na kuokoka.
13
Kisha Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani, akakifunika kwa vazi na kukiwekea singa za mbuzi kichwani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options