Skip to content
1 Samweli 17:55-57

1 Samweli 17:55-57

55
Sauli alipomwona Daudi anakwenda kukabiliana na huyo Mfilisti, alimwambia Abneri, jemadari wa jeshi, “Abneri, yule kijana ni mwana wa nani?” Abneri akajibu, “Hakika kama uishivyo, ee mfalme, mimi sifahamu.”
56
Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni mwana wa nani.”
57
Mara Daudi aliporudi kutoka kumuua huyo Mfilisti, Abneri akamchukua na kumleta mbele ya Sauli. Daudi alikuwa bado anakishikilia kichwa cha yule Mfilisti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options