Skip to content
1 Samweli 17:29-30

1 Samweli 17:29-30

29
Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
30
Daudi akamgeukia mtu mwingine na kumuuliza jambo lilo hilo, nao watu wakamjibu vilevile kama mwanzo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options