Skip to content
1 Samweli 17:10-11

1 Samweli 17:10-11

10
Kisha yule Mfilisti akasema, “Siku hii ya leo nayatukana majeshi ya Israeli! Nipeni mtu tupigane.”
11
Kwa kusikia maneno ya Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika na kuogopa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options