Lumaktaw sa nilalaman
1 Samweli 13:17-18

1 Samweli 13:17-18

17
Makundi ya wavamiaji walikuja kutoka kambi ya Wafilisti katika vikosi vitatu. Kikosi kimoja kilielekea Ofra karibu na Shuali,
18
kikosi kingine kilielekea Beth-Horoni, nacho kikosi cha tatu kilielekea kwenye nchi ya mpakani ielekeayo Bonde la Seboimu linalotazamana na jangwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options