Skip to content
1 Samweli 1:5-6

1 Samweli 1:5-6

5
Lakini alimpa Hana fungu maradufu kwa sababu alimpenda, ingawa Bwana alikuwa amemfunga tumbo.
6
Kwa sababu Bwana alikuwa amemfunga tumbo, mke mwenzake alikuwa anamchokoza ili kumuudhi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options