Skip to content
1 Petro 3:18-20

1 Petro 3:18-20

18
Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho.
19
Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:
20
roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options