Skip to content
1 Wafalme 9:15-17

1 Wafalme 9:15-17

15
Haya ni maelezo kuhusu kazi za kulazimishwa ambazo Mfalme Solomoni, alivyowafanyiza watu ili kulijenga hekalu la Bwana, na jumba lake la kifalme, na Milo, ukuta wa Yerusalemu, Hazori, Megido na Gezeri.
16
(Farao mfalme wa Misri alikuwa ameushambulia na kuuteka mji wa Gezeri. Alikuwa ameuchoma moto. Akawaua Wakanaani waliokuwa wakikaa humo na kisha kuutoa kwa binti yake, yaani mkewe Solomoni, kama zawadi ya arusi.
17
Solomoni akaujenga tena Gezeri.) Akajenga Beth-Horoni ya Chini,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options