Skip to content
1 Wafalme 9:12-13

1 Wafalme 9:12-13

12
Lakini Hiramu alipotoka Tiro kwenda kuiona ile miji ambayo Solomoni alikuwa amempa, hakupendezwa nayo.
13
Hiramu akauliza, “Hii ni miji ya namna gani uliyonipa, ndugu yangu?” Naye akaiita nchi ya Kabul, jina lililoko hadi leo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options