Przejdź do treści
1 Wafalme 9:1-4

1 Wafalme 9:1-4

1
Solomoni alipomaliza kujenga Hekalu la Bwana na jumba la kifalme, alipokwisha kufanya yote aliyotaka kufanya,
2
Bwana akamtokea mara ya pili, kama alivyokuwa amemtokea huko Gibeoni.
3
Bwana akamwambia: “Nimesikia dua na maombi uliyofanya mbele zangu, nimeliweka wakfu Hekalu hili ambalo umelijenga, kwa kuweka Jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwa humo siku zote.
4
“Kukuhusu wewe, kama ukienenda kwa unyofu wa moyo na uadilifu, kama baba yako Daudi alivyofanya na kutenda yote ninayoyaagiza kwa kutunza maagizo yangu na sheria,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options