Skip to content
1 Wafalme 9:1-3

1 Wafalme 9:1-3

1
Solomoni alipomaliza kujenga Hekalu la Bwana na jumba la kifalme, alipokwisha kufanya yote aliyotaka kufanya,
2
Bwana akamtokea mara ya pili, kama alivyokuwa amemtokea huko Gibeoni.
3
Bwana akamwambia: “Nimesikia dua na maombi uliyofanya mbele zangu, nimeliweka wakfu Hekalu hili ambalo umelijenga, kwa kuweka Jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwa humo siku zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options