Rukia maudhui
1 Wafalme 22:1-4

Ahabu Ataka Vita na Syria

1 Wafalme 22:1-4
1
Kwa miaka mitatu hapakuwa na vita kati ya Aramu na Israeli.
2
Lakini katika mwaka wa tatu Yehoshafati mfalme wa Yuda akashuka kwenda kumwona mfalme wa Israeli.
3
Mfalme wa Israeli alikuwa amewaambia maafisa wake, “Je, hamjui Ramoth-Gileadi ni mali yetu na bado hatufanyi chochote kuirudisha kwetu kutoka kwa mfalme wa Aramu?”
4
Kwa hiyo akamuuliza Yehoshafati, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?” Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options