Naar de inhoud
1 Wafalme 2:2-3

1 Wafalme 2:2-3

2
Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume,
3
shika lile Bwana Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options