1 Wafalme 2:10-11
10
Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
11
Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.