Skip to content
1 Wafalme 17:4-6

1 Wafalme 17:4-6

4
Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”
5
Hivyo akafanya kile alichoambiwa na Bwana. Akaenda katika Kijito cha Kerithi, mashariki ya Yordani na akakaa huko.
6
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka kile kijito.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options