Skip to content
1 Wafalme 17:1

1 Wafalme 17:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Basi Eliya, Mtishbi kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, “Kama Bwana, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninamtumikia, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka hii, isipokuwa kwa neno langu.”
2
Kisha neno la Bwana likamjia Eliya, kusema,
3
“Ondoka hapa, elekea upande wa mashariki ukajifiche katika Kijito cha Kerithi, mashariki mwa Yordani.
4
Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options