Rukia maudhui
1 Wafalme 15:32-34

Baasha Amuua Nadabu na Kutawala

1 Wafalme 15:32-34
32
Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.
33
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.
34
Akatenda maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options