Skip to content
1 Yohana 2:28-29

1 Yohana 2:28-29

28
Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.
29
Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options