Rukia maudhui
1 Wakorintho 9:13-14

1 Wakorintho 9:13-14

13
Je, hamjui kwamba, watu wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni hushiriki kile kitolewacho madhabahuni?
14
Vivyo hivyo, Bwana ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options