Skip to content
1 Wakorintho 8:1-3

Maarifa Dhidi ya Upendo

1 Wakorintho 8:1-3
1
Sasa kuhusu chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu, tunajua kwamba “sisi sote tuna ujuzi.” Lakini ujuzi hujivuna, bali upendo hujenga.
2
Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.
3
Lakini mtu ampendaye Mungu, hujulikana naye Mungu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options