1
Sasa kuhusu chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu, tunajua kwamba “sisi sote tuna ujuzi.” Lakini ujuzi hujivuna, bali upendo hujenga.
2
Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.
3
Lakini mtu ampendaye Mungu, hujulikana naye Mungu.