मुख्य मजकुरावर जा
1 Wakorintho 7:39-40

Kuoa Tena kwa Wajane

1 Wakorintho 7:39-40
39
Mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria maadamu mumewe yu hai. Lakini mumewe akifa, basi mwanamke huyo yuko huru kuolewa na mume mwingine ampendaye, lakini lazima awe katika Bwana.
40
Lakini kwa maoni yangu, angekuwa na furaha zaidi akibaki alivyo. Nami nadhani pia nina Roho wa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options