Skip to content
1 Wakorintho 7:7-8

1 Wakorintho 7:7-8

7
Laiti watu wangekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha namna hii na mwingine ana cha namna ile.
8
Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options