Skip to content
1 Wakorintho 4:3-4

1 Wakorintho 4:3-4

3
Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.
4
Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options