Skip to content
1 Wakorintho 4:11-12

1 Wakorintho 4:11-12

11
Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.
12
Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options