Skip to content
1 Wakorintho 3:6-7

1 Wakorintho 3:6-7

6
Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
7
Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options