Skip to content
1 Wakorintho 3:3-4

1 Wakorintho 3:3-4

3
Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida?
4
Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options